Longido
The tour to the extensive plains around longido mountains, 80 km north of Arusha, features an insight into the traditions of Maasai culture. The lush area is home to rare birds and animals.
The tour includes:
- A nature trail to spot birds
- A climb to the impressive Longido mountain through a dense natural forest
- Walking safari through the Maasai plains and over the slopes of Longido mountain
- A visit to a traditional Maasai village
- A tour of historical sites dating back to British colonial times
Tour options:
Half day tour
Full day Tour
A new attraction is a four day trekking trip -from Longido to the Big Rock and Kitumbeine, on to lake Natron.
Longido mountain climb
Day 1
Walk to the campsite of Kimokouwa and go for the full day tour.Day 2
Where to stay
A good number of guest house is currently available within and around the town of Longido. Many more are in pipeline. Camping ground installed with modern toilet facilities is available. Arrangements for camping and hiring equipments and various activities of your interest will be organized by Local Tour Guides or coordination office. An option for staying in a Maasai boma for overnight can be smoothly organized. There are options for several days’ tour in the Maasai land and a long climb of Mount Longido for those doing exercise before trying to conquer the ‘Roof of Africa’ Mount Kilimanjaro. Fly camping will be the best option.
Tour Guides:
The Local Guides are of the Maasai tribe and will guide you well in English and where necessary sign language will be used. They have good experience in guiding tourists in the area and deep cultural insight. Various excursions and tours can be booked through Tanzania Tourist Board-Tourist Information Office in Arusha or through your tour operator/travel agent/lodge & Hotel Operator
Getting there:
Longido is located about 80kms North of Arusha town. Its an hour drive via Arusha Nairobi high way. From the main bus stand in Arusha catch a bus or shared taxi leaving for Namanga and get off at Longido
(Income f rom tourist visits will be used to improve the primary and secondary school classrooms,teachers' houses and water projects.)
For further information contact:
Tell: +255 787 855185 /+255 27 2539209 / +255 715 855185
E-mail: touryman1@yahoo.comThis e-mail address is being protected from spam bots, you need JavaScript enabled to view it
| | |
Mamba / Marangu
Mamba and Marangu in the Kilimanjaro area have both natural and cultural
heritage to offer the visitor. There are more than seven waterfalls in the vicinity,
unique flora with tree, flower and fruit nurseries and fauna. Tour the slopes of
Mt.Kilimanjaro and ascend to beautiful viewpoints.
heritage to offer the visitor. There are more than seven waterfalls in the vicinity,
unique flora with tree, flower and fruit nurseries and fauna. Tour the slopes of
Mt.Kilimanjaro and ascend to beautiful viewpoints.
Tours through Marangu afford panoramic views of
Mt.Kilimanjaro. Visit the home and memorial of the
late Yohana Lauwo, a Marangu native who accompanied
Dr.Hans Meyer on the first recorded climb of Kilimanjaro in 1889,
and read the original log books of Lauwo.
Mt.Kilimanjaro. Visit the home and memorial of the
late Yohana Lauwo, a Marangu native who accompanied
Dr.Hans Meyer on the first recorded climb of Kilimanjaro in 1889,
and read the original log books of Lauwo.
Customised half day, full day or two day walking safaris
can be organised. These tours include the Kinukamori and
Moonjo falls and a visit to a Chagga house made of
straw-roofing . See the first coffee tree planted in
Tanzania and climb up Ngangu Hill. A trip to the African Art Centre
that houses a collection of ancient and modern sculptures, carvings
and paintings is rewarding.
can be organised. These tours include the Kinukamori and
Moonjo falls and a visit to a Chagga house made of
straw-roofing . See the first coffee tree planted in
Tanzania and climb up Ngangu Hill. A trip to the African Art Centre
that houses a collection of ancient and modern sculptures, carvings
and paintings is rewarding.
Mamba is a paradise for bird-watchers and nature lovers. Enjoy scenic
waterfalls, tree, flower and fruit nurseries, pass historical sites the Laka
Holes- large hiding caves used during the Chagga - Maasai wars,
visit a wood carving school, meet a local blacksmith using ethnic methods
to prepare spears and tools, and experience Chagga culture by visiting a
traditional Chagga culture by visiting a traditional chagga house.
waterfalls, tree, flower and fruit nurseries, pass historical sites the Laka
Holes- large hiding caves used during the Chagga - Maasai wars,
visit a wood carving school, meet a local blacksmith using ethnic methods
to prepare spears and tools, and experience Chagga culture by visiting a
traditional Chagga culture by visiting a traditional chagga house.
Tour guides:
The guides of the Cultural Tourism Programme are of the Wachaga tribe who knows well the area, their culture & history and speaks English. Provision of outstanding customer service have been their life long way of life
The guides of the Cultural Tourism Programme are of the Wachaga tribe who knows well the area, their culture & history and speaks English. Provision of outstanding customer service have been their life long way of life
Bookings for various excursions and tours can be made at Tanzania Tourist Board-Tourist Information Office in Arusha or through your tour operators/travel agents/lodge & Hotel Operators
Getting there:
Located at the foot of the’ roof of Africa’ one will catch a bus at Moshi town leaving for Marangu. Its a 45 minutes drive from Moshi town. Local Tour Guides will pick you at the bus stand on arrival. Mamba is located 3 kms from Marangu where walking or riding is possible. For those travelling from Dar-es-salaam will be supposed to get out at Himo Bust stand and then connect with mini-buses to Marangu.
Where to stay:
A wide range of Guest houses, lodges and hotels are available in Marangu and Mamba areas. A number of Homestay houses are available withing and around various villages bordering Kilimanjaro National Park. Camping ground installed with modern toilet facilities and clean water supply is available. Camping gears for hire at reasonable price are available in Moshi town
A wide range of Guest houses, lodges and hotels are available in Marangu and Mamba areas. A number of Homestay houses are available withing and around various villages bordering Kilimanjaro National Park. Camping ground installed with modern toilet facilities and clean water supply is available. Camping gears for hire at reasonable price are available in Moshi town
(Income from tourist visits will be used towards developing educational projects in the Kilimanjaro area)
For further information contact:
Tel: +255 754 818273/ +255 754 038265 / +255 754 390084
email: marvellouscreation@mailcity.comThis e-mail address is being protected from spam bots, you need JavaScript enabled to view it
| |
Mbeya
Mbeya lies about 872 km south-west of Dar es Salaam, its landscape characterized by relief forms created by the volcanic effects of the African Rift Valley.A visit to the region includes:
- A visit to the Ngozi Crater Lake
- A view into the traditional culture of the people of Mbeya
- Climbs to different mountain peaks in the area overlooking the East African Rift Valley
- Visit to the Mbozi Meteorite Stone and the Natural Bridge at Kiwira
Different tours are on offer:
Climb to Mbeya peak
Reaching the Mbeya peak (2,826m) is a steep climb taking about three hours. As you go along the mountain slopes, you see the indigenous flowers and colourful butterflies.
Ngozi Crater Lake
Ngozi Crater Lake lies 38 km south of Mbeya, in the direction of Tukuyu and Lake Malawi. A narrow footpath winds uphill through a dense tropical jungle full of bamboo and wild banana trees. Small mammals and colourful birds hide behind the thick vegetation. After a climb of one hour, you arrive at the crater rim for a magnificent view of the crater lake.
Kiwira Natural Bridge and waterfalls
The Kiwira Bridge was created by the powers of a fast flowing river. Locals call this miracle ' Daraja la Mungu' or ' Bridge of God'. Worth visiting are the nearby Kijungu waterfalls.
Rungwe Mountain climb
Rungwe Mountain at 2,960m is the highest peak in southern Tanzania. This volcano, active over the past million years, dominates the whole area around Tukuyu. It is a vast wild area, more than 100 sq km of forest, upland scrub and rock terrain, completely uninhabited and visited only occasionally. Take a long hike to the crater rim.
Matema beach
The 130 km drive from Mbeya to Matema beach is among the most scenic in Tanzania. A winding road passes through high mountains and tea estates before it descends to the tropical shores of Lake Malawi. From Matema, you can make canoe trips with fishermen over the lake to the nearby village where women specialise in pottery,and to the mouth of the river to spot hippos and crocodiles. It is also possible to organize hikes to the Livingstone Mountains.
Mbozi meteorite and Sisi kwa Sisi farm
40 km south- east of Mbeya, lies the meteorite stone of Mbozi. This is the eighth largest meteorite in the world, weighing about 12 tonnes and dates back to atleast a thousand years. Nearby the stone, the Sisi kwa Sisi society is worth a visit to experience true African rural life.
Other attractions
Several hot water springs, an underground crater known as 'bat caves', ruins of a 200 year old fort, Kaporogwe falls and Usangu basin are some of the other sites.
Where to stay
A wide range of guest houses, hotels and lodges is available in and around Mbeya city. Camping grounds are available in various places including the urbun area, villages and the area near or within Forests of the Southern Highlands at affordable rates. in Mbeya. Camping equipments are available at affordable rates in Mbeya. Coordination office or our local tour guides will assist in making arrangements for home-stay and overnights in the villages, local gu est houses, lodges when making extended tours.
Tour guides
Our local tour guides were born and raised in Mbeya region.This gave then enough time to learn the life of the people, environment the culture & history of the area. They are trained guides who speak good English and will always provide to you an outstanding customer service during your visit.Bookings for various excursions and tours can be made at Tanzania Tourist Board - Tourist Information Centre - Dar es salaam and Arusha or at Mbeya's Cultural Tourism coordination office located at ........ But also you can book through your tour operators/travel agent/ Lodge & Hotel operator
Getting There:
TMbeya is located in Southern highlands of Tanzania, about 10 hours tdrive from Dar es salaam. Daily bus transport is available but atleast one day before booking is appropriate.Train transport services by TAZARA can be another fairly good option. Mbeya is also linked with local charters.
(Income from tourist visits will be invested in agricultural projects of the Sisi kwa Sisi Society)
For furtherinformation contact:
MbeyaTel: +255 754 463471 /+255 754 087689
Email: sisikwasisitours@hotmail.comThis e-mail address is being protected from spam bots, you need JavaScript enabled to view it sisikwasisitours@hotmail.com
Nilifika Wilaya ya Mikindani, mkoani Mtwara kwa mara kwanza miaka kumi na nne iliyopita. Nilipofika Mikindani kwa lengo la kuona majengo ya kihistoria niliona mengine bado yanaweza kukarabatiwa. Katika safari hiyo nililiona boma la Mjerumani, ambalo lilionyesha kuwa ni kivutio kwa watalii wengi, lakini kasoro iliyojitokeza halikuwa likitunzwa vizuri sana.Lakini ukienda leo hali ya jengo hilo siyo ile niliyoiona awali. Jengo limechukuliwa na wazungu walioligeuza kuwa hoteli. Kwa kweli linatunzwa vizuri sana. Na kilichofanyika ni kujitahidi kulirudishia kama lilivyokuwa awali. Linavutia na kwa kweli sio tena lile jingo chafu la Boma la Mjerumani kama unavyoyaona mengine ambayo hayatunzwi katika maeneo mbalimbali nchini. Kutokana na hali hiyo nilijiuliza kwamba tunataka kutunza majengo yetu ya historia kwa kusubiri ufadhili kutoka nje tu! Jambo la ajabu zaidi, Serikali imekuwa ikiwapa wananchi majengo ya kihistoria amabayo wanayabomoa na kujenga ujenzi wanaoutaka. Historia inafutwa, kumbukumbu zinafutwa, na hakuna anayejali. Tumekaa tu!. Serikali inazungumzia kuhifadhi na kukuza vivutia vya utalii. Ni utalii upi? Inasema kuwa inataka kuhimiza utalii wa ndani. Ni utalii upi? Kama hata vivutio vilivyoko karibu na wananchi havitunzwi, tutawasaidia vipi watalii (wananchi) wa ndani ambao wamekuwa wakishindwa kutembelea mbuga zetu na vivuti vingine? Tunapowaachia wageni uwezekano wa wananchi kufika katika majengo ya kihistoria ambayo yamegeuzwa kuwa hoteli ni mdogo kwa kuwa watahofia kuwapo kwa gharama kubwa za kuingia hapo. Nilifika Unguja na kutembelea makazi ya Sultan Seyd Barghash kuna makazi yaliyodumu kwa miaka zaidi ya mia sasa. Kuna miembe mingi yenye umri mkubwa sana tangu yalipopandwa na sultani huyo. Nilidhani Serikali ingetafuta fedha na kuboresha bustani ya Unguja na kukarabati jengo la Barghash na kuweka huduma za buradani. Watalii na wananchi, na hasa wanafunzi, wangeweza kufika hapo na kujifunza mengi kuhusu historia ya taifa hili. Lakini jengo lile la Barghash linapotea na kuharibika kadri siku zinavyokwenda. Kutokana na hali hiyo miaka 10 ijayo jingo hilo halitakuwapo. Nilifika Ras Mkambuu Pemba ambako kuna historia ya taifa tangu miaka mingi tangu Kuzaliwa kwa Yesu Kristo, historia inayotuunganisha na Wairan,(Washiraz kutoka Iran kusini), lakini majengo, makaburi, misikiti na visima vinapotea na siyo muda mrefu vitamezwa na maji ya bahari. Hakuna mtu anayejali. Wahifadhi watakuambia wanahangaika kutafuta wafadhili kutoka nje ili wawasaidie kutunza historia ya Tanzania. Kweli wageni wanakusaidia kutunza historia ya Taifa! Kutokana na hali hiyo tutaandika katika vitabu vyetu vya historia kuwa majengo hayo yalijengwa na wageni, na yakaokolewa na wageni. Kila jengo limeokolewa na wageni. Historia ikiandikwa na wageni maana yake ni kwamba hatujui tunakotoka na wapi tunakokwenda. source: mwnanchi.co.tz |
WATAFITI wa mambo ya kale wanapofika eneo la Engaruka, mkoani wa Arusha hujiuliza, “kabila lililokuwa likiishi hapa lilikwenda wapi?”
Hata hivyo hadi leo hakuna mtu mwenye jibu sahihi hivyo kabila hilo liko kwenye orodha ya makabila yaliyopotea. Watu wa Engaruka walikuwa wakiishi kwenye bonde la ufa eneo
lililopo kati ya Ziwa Manyara na Ziwa Natroni karibu na Kreta ya Ngorongoro.
Inaaminika kuwa kabila hilo, liliishi eneo la Engaruka kuanzia karne ya sita lakini utafiti za
hivi karibuni zinaonesha kuwa waliishi eneo hilo kuanzia zama za chuma mwanzoni mwa karne ya 15.
Utafiti uliofanywa na wataalamu wa mambo ya kale na watafiti wa mambo ya akiolojia hususani John Sutton, unaonesha kuwa eneo la Engaruka lilikuwa na maelfu ya watu ambao waliishi katika mfumo wa vijiji na walikuwa wakiishi katika vijiji vikubwa saba na mashamba yao yalikuwa na ukubwa wa ekari 5,000.
Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa kabila hilo lilikuwa linajishughulisha na kilimo cha kisasa
cha umwagiliaji pamoja na ufugaji na inakisiwa kwamba lilitelekeza mashamba yao kati ya mwaka 1700 na 1750 na kuhama eneo hilo kutokana na sababu ambazo hadi leo hazijajulikana.
Urithi ulioachwa na kabila hilo ndio unaowafanya wanasayansi kuendelea kulitafuta kabila hilo bila kuchoka. Eneo lililotelekezwa lina miundo imara ambayo inadhihirisha kuwa watu wa kabila hilo walikuwa wakulima stadi wenye vipaji na utaalamu wa hali ya juu katika kilimo
cha mwagiliaji. Pia walifuga ng’ombe, mbuzi na kondoo.
Ingawa kabila hilo lilitoweka miaka mingi kabla ya kuingia zana bora za kilimo, lilikuwa linatumia mbinu bora za kilimo cha kisasa kwa kuwa katika makazi yao kulikuwa na mashamba yaliyotengenezwa kitaalamu kwa lengo la kuzuia mmomonyoko wa udongo.
Inasemekana watu wa Engaruka waliishi katika eneo tambarare lisilofaa kwa matumizi ya kilimo kwa kuwa lilikuwa na ukame na udongo mwepesi mithili ya vumbi jembamba. Hata hivyo, walitumia utaalamu wa hali ya juu na wa kipekee kutengeneza vitalu ambavyo kingo zake zilijengwa kwa mawe.
Pia walichimba mifereji kutoa maji sehemu zenye miinuko na kuyapeleka katika mashamba waliyoyatengeneza kwa ustadi mkubwa. Mirereji hiyo ilijengwa kwa kutumia mawe ili kuzuia maji yasipotee, na iligawanywa na kufanywa kuwa miembamba ili kusambaza maji kwenye mashamba.
Pia waliweka mawe kwenye kingo za matuta ili kuzuia mmomonyoko wa udongo. Waliokuwa wafugaji wa ng’ombe, mbuzi na kondoo walikuwa na utaratibu wa kuweka mifugo yao katika mazizi kisha kuitafutia chakula ili kuepuka mmomonyoko wa udongo unaosababishwa kulisha mifugo mingi katika eneo dogo.
Watu hao walikuwa wakitumia samadi kurutubisha mashamba hivyo walikuwa watunzaji wazuri wa mazingira. Kwa kuwa kabila hilo lilitoweka kabla ya kuanza kutumika kwa mfumo
wa kuweka kumbukumbu kwa maandishi, hakuna mtu anayefahamu watu hao walikuwa wa namna gani na walizungumza lugha gani.
Pia hakuna mwenye uhakika kama kabila hilo lilikuwa likijiita Engaruka. Watu waliofika eneo hilo waliamua kusema ni kabila la Engaruka kwa sababu eneo hilo lilikuwa likiitwa Engaruka.
Mwandishi wa Kitabu cha Makabila ya Kaskazini Mashariki mwa Tanzania, Gervase Mlola, anasema kuwa baadhi ya watu wanasema jina la Engaruka linatokana na asili ya neno la Kimaasai “ng’aruka” likiwa na maana ya sehemu kame au jangwa.
Inasemekana kuwa baada ya Wamasai kuhamia eneo la kusini, waliamua kuita eneo hilo Engaruka, kwa sababu walilifananisha na jangwa. Pia wapo wanaoamini kuwa jina la Engaruka linatokana na neno la kisukuma “Wangaruka”, ikiwa na maana salamu za asubuhi.
Inasemekana kuwa eneo hilo, lilikuwa kituo cha mapumziko cha Wasukuma, ambao walikuwa wakisafiri kutoka kanda ya Ziwa kwa ajili ya kukutana na wafanyabiashara waliokuwa wakitokea Mashariki.
Hata simulizi za Wasukuma hazioneshi kuwa waliwahi kukutana na watu wa Engaruka wakati wakiwa katika safari za kibiashara.
Mhifadhi Mkuu wa mambo ya akilojia katika Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni, Amandus Kwekason anasema inaaminika kuwa kabila hilo lilitoweka na haijulikani liliko kwa sababu sio rahisi kabila linalokaa katika mfumo wa vijiji kubadilisha kabisa mfumo wa maisha na kuanza utamaduni mpya.
“Ingawa hivi sasa Wamaasai wanaishi eneo la Engaruka ni wazi kuwa Wamasai sio watu wa asili wa Engaruka kwa sababu sio wakulima. Wapo wanaodai kuwa kabila la Wairaqi linatokana na watu wa kale wa Engaruka lakini utafiti wa kisayansi unaonesha kuwa zana na
utamaduni wa kabila la Wairaq unatofautiana na ule wa Engaruka,” anasema Kwekason.
Anasema watu wanaoweza kubadilisha mfumo wa maisha ni watu waliotekwa na kupelekwa
utumwani kisha kuchanganywa na jamii nyingine na kulazimishwa kufuata mfumo na utamaduni wa watu wengine.
Hivyo inaaminika kuwa kabila la Engaruka lilitoweka kwa sababu zinazotokana na wao
wenyewe kwa kuwa Tanzania haina historia ya kabila nzima kutekwa au kupelekwa utumwani.
Kwekason anasema utafiti wa kina uliweza kukusanya vipande 5,280 vya masalia ya watu wa Engaruka ikiwa ni pamoja na mifupa na zana mbalimbali zilizotumika kwenye karne ya 15.
Masalia yamehifanyiwa katika Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya utamaduni jijini Dar es
Salaam na hutumika kuendelea kufanya utafiti wa kutafuta kabila hilo kwa kuoanisha zana za watu hao na zana na makabila mbalimbali Tanzania na nchi jirani.
Pia utafiti umefanyika kwa kuangalia kwa kina miundo ya watu wanaojihusisha na kilimo cha umwagiliaji lakini hakuna mfumo inayofanana na ile iliyoachwa Engaruka. Ingawa wataalamu hawajajua sababu ya watu hao kuhama, kuna sababu mbalimbali zinazokisiwa.
Mosi inakisiwa kuwa huenda walikimbizwa na Wamaasai kwa sababu watu hao walitoweka karne ya 17 kipindi ambacho Wamasai walihamia maeneo ya Kusini na kufika eneo hilo la Engaruka.
Inakisiwa kuwa huenda watu wa Engaruka walihofia kwamba wageni waliofika na mifugo mingi wangeharibu mashamba yao jambo lililosababisha kuhama. Hata hivyo hakuna ushahidi
kwamba Wamaasai walivamia watu wa Engaruka kwa sababu katika simulizi za historia ya kale hakuna sehemu ambayo Wamasai wanataja watu wa Engaruka.
“Kwa kuwa historia ya kale ilikuwa ikihifadhiwa kwa njia ya simulizi, inaaminika kuwa Wamaasai hawakuwahi kukutana na watu wa Engaruka ndio maana simulizi zao hazitaji watu wahao,” anasema Kwekasoni ambaye pia ni mtalamu wa mambo ya akiolojia.
Pia ushahidi unaonesha kuwa wamasai wana uwezo wa kuishi na wakulima hivyo isingekuwa rahisi kwa watu hao kutoweka kabisa kwa sababu ya kugombana au kuhofia kuishi na wamaasai.
Wapo wanadhani kwamba watu wa Engaruka walitelekeza mashamba yao kutokana na
mabadiliko ya tabia nchi yaliyolikumba eneo la Kusini mwa Ikweta. Inasemekana kuwa
katika karne ya 15 na 16 mito inatiririka maji wakati wote ilikauka kutokana na ukame
uliojitokeza karne ya 17 na 18, kipindi ambacho watu hao walitoweka.
Hata hivyo, sababu ya ukosefu wa maji haijaweza kuthibitishwa kwa sababu bado kuna makabila mengine yanayokaa katika maeneo ya jirani kama Wasonjo na Wairaqi.
Wataalamu wa masuala ya mazingira wanasema mabadiliko makubwa ya mazingira yanaathiri jamii za watu wengi hivyo isingewezekana mabadiliko hayo kuathiri watu wa Engaruka pekee na kuacha makabila mengine yanayoishi karibu na eneo hilo.
Pia wapo wanaodai kuwa huenda watu wa Engaruka walikabiliwa na tatizo la ongezeko la watu hivyo waliamua kuhama kwa lengo la kutafuta ardhi kubwa ili kuendeleza kilimo cha umwagiliaji.
Hata hivyo, sababu hivyo imepingwa kitaalamu kwa sababu hadi leo hakuna anayefahamu walikokwenda.
Utafiti uliofanywa na Louis Leakey mwaka 1935, Hamo Sasson mwaka 1964, na mwaka 1966, Peter Robertshaw na Taasisi ya Uingereza mwaka 1982 unaonesha kuwa baadhi ya utamaduni wa watu wa Engaruka unafanana na wa Wanjo, kabila ambalo linaishi kilometa 100 Kaskazini mwa Ziwa Natron.
Kwa kuwa Wasonjo hawaishi mbali na Engaruka, baadhi ya watafiti walihisi kuwa Wasonjo wanatokana na watu wa kale wa Engaruka kwa kuwa wanajihusisha na kilimo cha umwagiliaji na muundo wao wa kutengeneza mifereji unashabihiana kidogo na ule wa Engaruka.
Hata hivyo, utafiti wa kina unabainisha kuwa Wasonjo hawana utaalamu wa kutumia mawe kuzuia mmomonyoko wa udongo. Pia hawatumii samadi kwa ajili ya kurutubisha mashamba yao.
“Kwa ujumla kilimo cha Wasonjo hakitumii mbinu za kisasa ikilinganishwa na kilimo
kilichokuwepo katika vijiji vya zamani vya Engaruka hivyo ni dhahiri kwamba Wasonjo sio
watu wa Engaruka,” inaeleza ripoti ya utafiti uliofanywa Sutton.
Jambo lingine linalodhihirisha kuwa Wasonyo hawatokani na kizazi cha kale cha Engaruka ni tofauti katika utengenezaji na matumizi ya vyombo hasa vyungu na mitungi pamoja na vyombo vingine vya ndani vilivyotengenezwa kwa kutumia udongo.
Baadhi ya watu walihisi kuwa huenda watu hao walihamia Kilimanjaro Magharibi. Wanasayansi wa masuala ya akiolojia walipiga kambi mkoa wa Kilimanjaro na kufanya utafiti wa kina. Utafiti huo ulibaini kwamba watu wa Kilimanjaro wana baadhi ya mambo yanayofanana na watu wa Engaruka.
Mosi, uhaba wa ardhi umesababisha Wachaga kutunza ardhi yao kama watu wa Engaruka na wanajihusisha na kilimo na ufugaji. Ufugaji wa Wachaga ni kama wa Engaruka, kwa sababu wanakabiliwa na uhaba wa ardhi.
Pia ufugaji wao ni kama wa watu wa Engaruka kwa sababu wanafuga mifugo michache ambayo hufungia kwenye mazizi kisha kuitafutia chakula. Pia wanatumia samadi inayotokana na mifugo hiyo kwa lengo la kurutubisha ardhi yao ya kilimo kama watu wa Engaruka.
Hata hivyo, wanasayansi walibaini kuwa ipo tofauti kubwa katika uandaaji wa mashamba kwa sababu pamoja na kuwa na maji yanayotiririka kutoka sehemu za miinuko, Wachaga hawana utaalamu wa kutengeneza mifereji ya kilimo cha umwagiliaji kama watu wa Engaruka.
Pia, vyombo na mapambo yao ni tofauti na yale ya watu wa Engaruka. Ingawa Wachaga wanakabiliwa na uhaba wa ardhi wamefanikiwa kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine ila wana kawaida ya kurudi nyumbani kila mwaka kwa lengo la kudumisha mila na desturi zao, hivyo Wachaga hawana uhusiano na watu wa kale wa Engaruka.
Pia, utafiti kama huo ulifanywa katika jamii ya watu wa kabila la Wapare mkoani Kilimanjaro na katika milima ya Taita nchi ya jirani ya Kenya na matokeo yanaonesha kuwa kabila hilo ni tofauti na Engaruka.
Ufafiti huo ulibaini kuwa katika nchi ya Kenya kuna kabila la Marakweti ambalo mfumo wao wa kutengeneza mirefeji kwa kilimo cha umwagiliaji unashabihiana na ule wa Engaruka.
Kabila hilo linaishi kilometa 400 Kaskazini mwa Kenya katika bonde la Kerio.
Hata hivyo utafiti uliofanywa na Scotsman Thomson unaonesha kuwa kuna tofauti kati ya makabila hayo, hasa kwa kuangalia zana na mapambo yao. Watu wa Engaruka walikuwa
wakitumia shanga kutengenezwa mapambo, pia walivaa mikufu iliyotengenezwa vyuma vizito.
Pia walikuwa na mapambo machache yanayotokana na makasha ya wadudu wa baharini kama vile simbi. Vyungu na mitungi yao ilitengenezwa kwa ustadi mkubwa na katika mtindo tofauti na makabila mengine yaliyoishi jirani na Engaruka.
Ingawa kabila la Engaruka lilitoweka, liliacha urithi ambao unatumika na wanasayansi hadi
leo. Mfumo wao wa kilimo cha umwagiliaji ni kielelezo kuwa Waafrika wana utaalamu wa kijadi katika kilimo cha umwagiliaji na kwamba utaalamu huo haukuletwa na ukoloni.
Kutoweka kwa kabila hilo ni changamoto hasa kwa wanasayansi na watafiti wa mambo ya kale. Taarifa za tafiti mbalimbali zilizofanyika kwa zaidi ya miaka 100, hazijaweza kubaini watu wa kabila hilo wako wapi na kwa nini walitelekeza makazi yao ya asili.
Kutoweka kwa kabila hilo ni changamoto kwa makabila mengine ambayo yanaacha utamaduni wao wa asili.
Kwa kuwa binadamu ana shauku ya kujua asili yake ni vyema akabila kujitahidi kutunza kumbukumbu hasa kuwafundisha watoto lugha za asili, na kuweka rekodi za makabila hasa kipindi hiki ambacho Tanzania imeingia kwenye mfumo wa utandawazi ambao unasababisha watu wengi kuacha kutumia zana za asili na kutumia zana zilizotengenezwa na mataifa ya Magharibi.
Hata hivyo hadi leo hakuna mtu mwenye jibu sahihi hivyo kabila hilo liko kwenye orodha ya makabila yaliyopotea. Watu wa Engaruka walikuwa wakiishi kwenye bonde la ufa eneo
lililopo kati ya Ziwa Manyara na Ziwa Natroni karibu na Kreta ya Ngorongoro.
Inaaminika kuwa kabila hilo, liliishi eneo la Engaruka kuanzia karne ya sita lakini utafiti za
hivi karibuni zinaonesha kuwa waliishi eneo hilo kuanzia zama za chuma mwanzoni mwa karne ya 15.
Utafiti uliofanywa na wataalamu wa mambo ya kale na watafiti wa mambo ya akiolojia hususani John Sutton, unaonesha kuwa eneo la Engaruka lilikuwa na maelfu ya watu ambao waliishi katika mfumo wa vijiji na walikuwa wakiishi katika vijiji vikubwa saba na mashamba yao yalikuwa na ukubwa wa ekari 5,000.
Tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa kabila hilo lilikuwa linajishughulisha na kilimo cha kisasa
cha umwagiliaji pamoja na ufugaji na inakisiwa kwamba lilitelekeza mashamba yao kati ya mwaka 1700 na 1750 na kuhama eneo hilo kutokana na sababu ambazo hadi leo hazijajulikana.
Urithi ulioachwa na kabila hilo ndio unaowafanya wanasayansi kuendelea kulitafuta kabila hilo bila kuchoka. Eneo lililotelekezwa lina miundo imara ambayo inadhihirisha kuwa watu wa kabila hilo walikuwa wakulima stadi wenye vipaji na utaalamu wa hali ya juu katika kilimo
cha mwagiliaji. Pia walifuga ng’ombe, mbuzi na kondoo.
Ingawa kabila hilo lilitoweka miaka mingi kabla ya kuingia zana bora za kilimo, lilikuwa linatumia mbinu bora za kilimo cha kisasa kwa kuwa katika makazi yao kulikuwa na mashamba yaliyotengenezwa kitaalamu kwa lengo la kuzuia mmomonyoko wa udongo.
Inasemekana watu wa Engaruka waliishi katika eneo tambarare lisilofaa kwa matumizi ya kilimo kwa kuwa lilikuwa na ukame na udongo mwepesi mithili ya vumbi jembamba. Hata hivyo, walitumia utaalamu wa hali ya juu na wa kipekee kutengeneza vitalu ambavyo kingo zake zilijengwa kwa mawe.
Pia walichimba mifereji kutoa maji sehemu zenye miinuko na kuyapeleka katika mashamba waliyoyatengeneza kwa ustadi mkubwa. Mirereji hiyo ilijengwa kwa kutumia mawe ili kuzuia maji yasipotee, na iligawanywa na kufanywa kuwa miembamba ili kusambaza maji kwenye mashamba.
Pia waliweka mawe kwenye kingo za matuta ili kuzuia mmomonyoko wa udongo. Waliokuwa wafugaji wa ng’ombe, mbuzi na kondoo walikuwa na utaratibu wa kuweka mifugo yao katika mazizi kisha kuitafutia chakula ili kuepuka mmomonyoko wa udongo unaosababishwa kulisha mifugo mingi katika eneo dogo.
Watu hao walikuwa wakitumia samadi kurutubisha mashamba hivyo walikuwa watunzaji wazuri wa mazingira. Kwa kuwa kabila hilo lilitoweka kabla ya kuanza kutumika kwa mfumo
wa kuweka kumbukumbu kwa maandishi, hakuna mtu anayefahamu watu hao walikuwa wa namna gani na walizungumza lugha gani.
Pia hakuna mwenye uhakika kama kabila hilo lilikuwa likijiita Engaruka. Watu waliofika eneo hilo waliamua kusema ni kabila la Engaruka kwa sababu eneo hilo lilikuwa likiitwa Engaruka.
Mwandishi wa Kitabu cha Makabila ya Kaskazini Mashariki mwa Tanzania, Gervase Mlola, anasema kuwa baadhi ya watu wanasema jina la Engaruka linatokana na asili ya neno la Kimaasai “ng’aruka” likiwa na maana ya sehemu kame au jangwa.
Inasemekana kuwa baada ya Wamasai kuhamia eneo la kusini, waliamua kuita eneo hilo Engaruka, kwa sababu walilifananisha na jangwa. Pia wapo wanaoamini kuwa jina la Engaruka linatokana na neno la kisukuma “Wangaruka”, ikiwa na maana salamu za asubuhi.
Inasemekana kuwa eneo hilo, lilikuwa kituo cha mapumziko cha Wasukuma, ambao walikuwa wakisafiri kutoka kanda ya Ziwa kwa ajili ya kukutana na wafanyabiashara waliokuwa wakitokea Mashariki.
Hata simulizi za Wasukuma hazioneshi kuwa waliwahi kukutana na watu wa Engaruka wakati wakiwa katika safari za kibiashara.
Mhifadhi Mkuu wa mambo ya akilojia katika Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya Utamaduni, Amandus Kwekason anasema inaaminika kuwa kabila hilo lilitoweka na haijulikani liliko kwa sababu sio rahisi kabila linalokaa katika mfumo wa vijiji kubadilisha kabisa mfumo wa maisha na kuanza utamaduni mpya.
“Ingawa hivi sasa Wamaasai wanaishi eneo la Engaruka ni wazi kuwa Wamasai sio watu wa asili wa Engaruka kwa sababu sio wakulima. Wapo wanaodai kuwa kabila la Wairaqi linatokana na watu wa kale wa Engaruka lakini utafiti wa kisayansi unaonesha kuwa zana na
utamaduni wa kabila la Wairaq unatofautiana na ule wa Engaruka,” anasema Kwekason.
Anasema watu wanaoweza kubadilisha mfumo wa maisha ni watu waliotekwa na kupelekwa
utumwani kisha kuchanganywa na jamii nyingine na kulazimishwa kufuata mfumo na utamaduni wa watu wengine.
Hivyo inaaminika kuwa kabila la Engaruka lilitoweka kwa sababu zinazotokana na wao
wenyewe kwa kuwa Tanzania haina historia ya kabila nzima kutekwa au kupelekwa utumwani.
Kwekason anasema utafiti wa kina uliweza kukusanya vipande 5,280 vya masalia ya watu wa Engaruka ikiwa ni pamoja na mifupa na zana mbalimbali zilizotumika kwenye karne ya 15.
Masalia yamehifanyiwa katika Makumbusho ya Taifa na Nyumba ya utamaduni jijini Dar es
Salaam na hutumika kuendelea kufanya utafiti wa kutafuta kabila hilo kwa kuoanisha zana za watu hao na zana na makabila mbalimbali Tanzania na nchi jirani.
Pia utafiti umefanyika kwa kuangalia kwa kina miundo ya watu wanaojihusisha na kilimo cha umwagiliaji lakini hakuna mfumo inayofanana na ile iliyoachwa Engaruka. Ingawa wataalamu hawajajua sababu ya watu hao kuhama, kuna sababu mbalimbali zinazokisiwa.
Mosi inakisiwa kuwa huenda walikimbizwa na Wamaasai kwa sababu watu hao walitoweka karne ya 17 kipindi ambacho Wamasai walihamia maeneo ya Kusini na kufika eneo hilo la Engaruka.
Inakisiwa kuwa huenda watu wa Engaruka walihofia kwamba wageni waliofika na mifugo mingi wangeharibu mashamba yao jambo lililosababisha kuhama. Hata hivyo hakuna ushahidi
kwamba Wamaasai walivamia watu wa Engaruka kwa sababu katika simulizi za historia ya kale hakuna sehemu ambayo Wamasai wanataja watu wa Engaruka.
“Kwa kuwa historia ya kale ilikuwa ikihifadhiwa kwa njia ya simulizi, inaaminika kuwa Wamaasai hawakuwahi kukutana na watu wa Engaruka ndio maana simulizi zao hazitaji watu wahao,” anasema Kwekasoni ambaye pia ni mtalamu wa mambo ya akiolojia.
Pia ushahidi unaonesha kuwa wamasai wana uwezo wa kuishi na wakulima hivyo isingekuwa rahisi kwa watu hao kutoweka kabisa kwa sababu ya kugombana au kuhofia kuishi na wamaasai.
Wapo wanadhani kwamba watu wa Engaruka walitelekeza mashamba yao kutokana na
mabadiliko ya tabia nchi yaliyolikumba eneo la Kusini mwa Ikweta. Inasemekana kuwa
katika karne ya 15 na 16 mito inatiririka maji wakati wote ilikauka kutokana na ukame
uliojitokeza karne ya 17 na 18, kipindi ambacho watu hao walitoweka.
Hata hivyo, sababu ya ukosefu wa maji haijaweza kuthibitishwa kwa sababu bado kuna makabila mengine yanayokaa katika maeneo ya jirani kama Wasonjo na Wairaqi.
Wataalamu wa masuala ya mazingira wanasema mabadiliko makubwa ya mazingira yanaathiri jamii za watu wengi hivyo isingewezekana mabadiliko hayo kuathiri watu wa Engaruka pekee na kuacha makabila mengine yanayoishi karibu na eneo hilo.
Pia wapo wanaodai kuwa huenda watu wa Engaruka walikabiliwa na tatizo la ongezeko la watu hivyo waliamua kuhama kwa lengo la kutafuta ardhi kubwa ili kuendeleza kilimo cha umwagiliaji.
Hata hivyo, sababu hivyo imepingwa kitaalamu kwa sababu hadi leo hakuna anayefahamu walikokwenda.
Utafiti uliofanywa na Louis Leakey mwaka 1935, Hamo Sasson mwaka 1964, na mwaka 1966, Peter Robertshaw na Taasisi ya Uingereza mwaka 1982 unaonesha kuwa baadhi ya utamaduni wa watu wa Engaruka unafanana na wa Wanjo, kabila ambalo linaishi kilometa 100 Kaskazini mwa Ziwa Natron.
Kwa kuwa Wasonjo hawaishi mbali na Engaruka, baadhi ya watafiti walihisi kuwa Wasonjo wanatokana na watu wa kale wa Engaruka kwa kuwa wanajihusisha na kilimo cha umwagiliaji na muundo wao wa kutengeneza mifereji unashabihiana kidogo na ule wa Engaruka.
Hata hivyo, utafiti wa kina unabainisha kuwa Wasonjo hawana utaalamu wa kutumia mawe kuzuia mmomonyoko wa udongo. Pia hawatumii samadi kwa ajili ya kurutubisha mashamba yao.
“Kwa ujumla kilimo cha Wasonjo hakitumii mbinu za kisasa ikilinganishwa na kilimo
kilichokuwepo katika vijiji vya zamani vya Engaruka hivyo ni dhahiri kwamba Wasonjo sio
watu wa Engaruka,” inaeleza ripoti ya utafiti uliofanywa Sutton.
Jambo lingine linalodhihirisha kuwa Wasonyo hawatokani na kizazi cha kale cha Engaruka ni tofauti katika utengenezaji na matumizi ya vyombo hasa vyungu na mitungi pamoja na vyombo vingine vya ndani vilivyotengenezwa kwa kutumia udongo.
Baadhi ya watu walihisi kuwa huenda watu hao walihamia Kilimanjaro Magharibi. Wanasayansi wa masuala ya akiolojia walipiga kambi mkoa wa Kilimanjaro na kufanya utafiti wa kina. Utafiti huo ulibaini kwamba watu wa Kilimanjaro wana baadhi ya mambo yanayofanana na watu wa Engaruka.
Mosi, uhaba wa ardhi umesababisha Wachaga kutunza ardhi yao kama watu wa Engaruka na wanajihusisha na kilimo na ufugaji. Ufugaji wa Wachaga ni kama wa Engaruka, kwa sababu wanakabiliwa na uhaba wa ardhi.
Pia ufugaji wao ni kama wa watu wa Engaruka kwa sababu wanafuga mifugo michache ambayo hufungia kwenye mazizi kisha kuitafutia chakula. Pia wanatumia samadi inayotokana na mifugo hiyo kwa lengo la kurutubisha ardhi yao ya kilimo kama watu wa Engaruka.
Hata hivyo, wanasayansi walibaini kuwa ipo tofauti kubwa katika uandaaji wa mashamba kwa sababu pamoja na kuwa na maji yanayotiririka kutoka sehemu za miinuko, Wachaga hawana utaalamu wa kutengeneza mifereji ya kilimo cha umwagiliaji kama watu wa Engaruka.
Pia, vyombo na mapambo yao ni tofauti na yale ya watu wa Engaruka. Ingawa Wachaga wanakabiliwa na uhaba wa ardhi wamefanikiwa kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine ila wana kawaida ya kurudi nyumbani kila mwaka kwa lengo la kudumisha mila na desturi zao, hivyo Wachaga hawana uhusiano na watu wa kale wa Engaruka.
Pia, utafiti kama huo ulifanywa katika jamii ya watu wa kabila la Wapare mkoani Kilimanjaro na katika milima ya Taita nchi ya jirani ya Kenya na matokeo yanaonesha kuwa kabila hilo ni tofauti na Engaruka.
Ufafiti huo ulibaini kuwa katika nchi ya Kenya kuna kabila la Marakweti ambalo mfumo wao wa kutengeneza mirefeji kwa kilimo cha umwagiliaji unashabihiana na ule wa Engaruka.
Kabila hilo linaishi kilometa 400 Kaskazini mwa Kenya katika bonde la Kerio.
Hata hivyo utafiti uliofanywa na Scotsman Thomson unaonesha kuwa kuna tofauti kati ya makabila hayo, hasa kwa kuangalia zana na mapambo yao. Watu wa Engaruka walikuwa
wakitumia shanga kutengenezwa mapambo, pia walivaa mikufu iliyotengenezwa vyuma vizito.
Pia walikuwa na mapambo machache yanayotokana na makasha ya wadudu wa baharini kama vile simbi. Vyungu na mitungi yao ilitengenezwa kwa ustadi mkubwa na katika mtindo tofauti na makabila mengine yaliyoishi jirani na Engaruka.
Ingawa kabila la Engaruka lilitoweka, liliacha urithi ambao unatumika na wanasayansi hadi
leo. Mfumo wao wa kilimo cha umwagiliaji ni kielelezo kuwa Waafrika wana utaalamu wa kijadi katika kilimo cha umwagiliaji na kwamba utaalamu huo haukuletwa na ukoloni.
Kutoweka kwa kabila hilo ni changamoto hasa kwa wanasayansi na watafiti wa mambo ya kale. Taarifa za tafiti mbalimbali zilizofanyika kwa zaidi ya miaka 100, hazijaweza kubaini watu wa kabila hilo wako wapi na kwa nini walitelekeza makazi yao ya asili.
Kutoweka kwa kabila hilo ni changamoto kwa makabila mengine ambayo yanaacha utamaduni wao wa asili.
Kwa kuwa binadamu ana shauku ya kujua asili yake ni vyema akabila kujitahidi kutunza kumbukumbu hasa kuwafundisha watoto lugha za asili, na kuweka rekodi za makabila hasa kipindi hiki ambacho Tanzania imeingia kwenye mfumo wa utandawazi ambao unasababisha watu wengi kuacha kutumia zana za asili na kutumia zana zilizotengenezwa na mataifa ya Magharibi.
more information visit: http://www.habarileo.co.tz/makala
The Sukuma Museum is a community-based organization that promotes and celebrates the traditional and contemporary arts of the Sukuma culture. The Museum provides an interactive and educational environment where Sukuma elders teach younger generation traditional history and arts, and younger generations are encouraged to develop and expand creative voices and new Sukuma artistic trends.