PROFESA MAJI MAREFU AWAOMBA RADHI MADAKTARI

  • Awaomba radhi Madaktari kwa kauli yake dhidi ya kipigo cha dk Ulimboka
Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani maarufu kwa jina la Maji Marefu, katika mjadala wa bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu unaoendelea sasa, akiuliza swali kwa waziri mkuu, ametumia fursa hiyo kuwaomba radhi madakatari kw kauli yake aliyoitoa jana bungeni kuwa kipigo alichokipata Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk. Ulimboka alistahili.,

0 comments

Leave a Reply